Ni jinsi gani biashara ya samaki wa Mwanza (Sangara) inaweza kunipa faida?

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
Habari zenu wakuu!

Naomba kuuliza Ni jinsi gani ninaweza kuifanya biashara ya samaki wa mwanza (sangara) inipe faida?

Na ni maeneo gani hapa nchini biashara hii inalipa?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…