Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Embu nirushie link boss nikienda kwenye Mobdro zinakuja Mobdro nyingi sana sasa sijui Ni ipi mkuu .Pakua MOBDRO apk kwenye google na fanya installation kwenye simu yako. Kama inakusumbua nenda playstore na na pakua app inaitwa Live Football tv
Chagua the latest version. Nadhani imetoka kati ya Juni au August 2018. Utaangalia kila mechi hadi UEFA + EuropaEmbu nirushie link boss nikienda kwenye Mobdro zinakuja Mobdro nyingi sana sasa sijui Ni ipi mkuu .
Mechi moja unaweza tumia MB kiasi gani mkuu??Download hii app mwanjamvi Burma Tv yani mzuka
Achana na mobodro iko slow sana tumia live football TV ya waarabu haina sracth wala nini iko poa sana afu ni chimbo jipya watu kibao hawalijui hili chimbo.
Mechi moja unaweza tumia MB kiasi gani mkuu??
MB za jero kwa mtandao gani??Mara nyingi huwa nikinunua mb za jero namaliza game yote dkk tisini.
Thanks ungetusaidia link.Achana na mobodro iko slow sana tumia live football TV ya waarabu haina sracth wala nini iko poa sana afu ni chimbo jipya watu kibao hawalijui hili chimbo.
Mkuu mimi naishi mamton internet ni monthly how daily. Sijui kwa kweli mambo ya mb. Nadhani GT wengine wataleta mawazo yaoMechi moja unaweza tumia MB kiasi gani mkuu??
Kwa mwezi unalipia tsh ngapi mkuu?Mkuu mimi naishi mamton internet ni monthly how daily. Sijui kwa kweli mambo ya mb. Nadhani GT wengine wataleta mawazo yao
Doooh nilimaanisha mechi moja ina consume Megabyte kiasi gani. Mkuu kwani we ndio mzee wa Copenhagen???😳😳Mkuu mimi naishi mamton internet ni monthly how daily. Sijui kwa kweli mambo ya mb. Nadhani GT wengine wataleta mawazo yao
Nilikua nayo Mobdro ila ikafungiwa ikawa haionyeshi game yoyote. Kumbe imeanza kufanya kazi tena?Chagua the latest version. Nadhani imetoka kati ya Juni au August 2018. Utaangalia kila mechi hadi UEFA + Europa
Vipi lugha kiingereza kipo? Nina ya kiarabu kuanzia maandishi mpaka matangazo ya mpira uwanjaniAchana na mobodro iko slow sana tumia live football TV ya waarabu haina sracth wala nini iko poa sana afu ni chimbo jipya watu kibao hawalijui hili chimbo.
Kama elfu 40 madafuKwa mwezi unalipia tsh ngapi mkuu?
Hadi Dunia ilipofika unalipia kuangalia soka mkuu? Ukiielewa tu mitaa ya mtandaoni hadi masters unasoma bure kutoka kwa waalimu world class kabisa toka Harvard university.Kama elfu 40 madafu