king Mniko
Member
- Apr 15, 2016
- 98
- 34
Habari ndugu, mimi ni kijana mjasiriamali nipo Nzega-Tabora, nauza karoti kwa rejareja na jumla, pia nasambaza kwa wauzaji wa masoko mengine kama kahama, Igunga, Tabora mjini. Nifanyeje ili niweze kuongeza soko na dhamani.
Natamani kuwafikia wafanya biashara wa Dodoma, Singida, Shinyanga na Mpanda japo mikoa hii ya jirani.
Ndugu naomba nifundisheni mbinu ili niweze kukua kibiashara pia napenda kufahamu bei ya gunia la karoti kwa Dodoma, Singida, na Mwanza. Kama kuna mtu anahitaji ili tuwe wasiliana niwe nampa mzigo , asisite kufanya mawasiliano ili tufanye biashara.
Natamani kuwafikia wafanya biashara wa Dodoma, Singida, Shinyanga na Mpanda japo mikoa hii ya jirani.
Ndugu naomba nifundisheni mbinu ili niweze kukua kibiashara pia napenda kufahamu bei ya gunia la karoti kwa Dodoma, Singida, na Mwanza. Kama kuna mtu anahitaji ili tuwe wasiliana niwe nampa mzigo , asisite kufanya mawasiliano ili tufanye biashara.