Ni Jukwaa gani hasa Ukiingia JF ni la kwanza kuingia

Ni Jukwaa gani hasa Ukiingia JF ni la kwanza kuingia

Inog01

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
1,291
Reaction score
1,961
Mambo vipi wanachit chat.Bila shaka mko Salama.
Kupitia Uzi huu hebu tueleze ukweli ni jukwaa gani ukiingia JF lazima liwe la kwanza kuperuzi??.
Naanza na Mimi mwenyewe .Binafsi kuna vitu huwa navizingatia sana ninapoingia JF hasa mda na Lengo la kuingia humu.
Mfano nikiwa na mda wa kutosha kuperuzi humu kwanza huwa naanza na jukwaa la Habari mchanganyiko ili nipate Updates halafu baada ya hapo naenda kwenye majukwaa yangu pendwa kama ,Jamii Intelligence ,jukwaa la siasa,na mengine mengi .Majukwaa ya lugha ya kigeni kwa kweli ni nadra sana kupitia huko.
Lakini kuna mda huwa nalazimika kwenda kwenye jukwaa maalum moja kwa moja itategemea nataka nipate taarifa za jambo gani,kama ni elimu,afya au mambo ya kiuchumi basi huwa nalenga jukwani moja kwa moja.
....Naomba kuwapa nafasi wana jukwaa wengine wajimwage kutueleza vipaumbele vyao,na wakituambia sababu itapendeza zaidi.Karibuni
 
Mambo ya timeline tu natembea na zilizopo

Nikiwa na shida zangu huwa napitia jukwaa pendwa la biashara na nikiwa natafuta usingizi nazama JLW
 
Kuna jukwaa moja ambalo halipo

Jukwaa ambalo halipo ndo huwa nalitembelea sana

Mabaharia washajua nazungumzia jukwaa gan hapa

Maana tuliambiwa tuseme halipo
 
Mambo ya timeline tu natembea na zilizopo

Nikiwa na shida zangu huwa napitia jukwaa pendwa la biashara na nikiwa natafuta usingizi nazama JLW
Umetisha huna mambo mengi
 
Kuna jukwaa moja ambalo halipo

Jukwaa ambalo halipo ndo huwa nalitembelea sana

Mabaharia washajua nazungumzia jukwaa gan hapa

Maana tuliambiwa tuseme halipo
Kweli kuna wengi hawajui kama lipo,ila mabaharia wanashinda huko
 
Kuna jukwaa moja ambalo halipo

Jukwaa ambalo halipo ndo huwa nalitembelea sana

Mabaharia washajua nazungumzia jukwaa gan hapa

Maana tuliambiwa tuseme halipo
Lile jukwaa la chini kabisaa
 
MMU,then Celebrities forum,Jamii photos,Chit chat,Jokes,Jukwaa la Elimu na Lugha.
 
Back
Top Bottom