Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Jf ya sasa imebadilika sana kwa mfano;
1, MMU limekuwa la visa vya mapenzi vya kutunga and not real stories
2, Chit chat imekuwa na story za kubuni
2, Jf Doctor imekuwa ya mapovu tu hakuna ushauri wala msaada wa kitabibu
3, Political forum limekuwa la kichama zaidi na si katika sayansi ya siasa
Hivyo binanafsi mimi siwezi lala bila kuliperuzi jukwaa la wakubwa JLW kwakuwa ndio jukwa pekee ninaloliona watu wapo real ktk wanavyovipost
Na wewe je?
1, MMU limekuwa la visa vya mapenzi vya kutunga and not real stories
2, Chit chat imekuwa na story za kubuni
2, Jf Doctor imekuwa ya mapovu tu hakuna ushauri wala msaada wa kitabibu
3, Political forum limekuwa la kichama zaidi na si katika sayansi ya siasa
Hivyo binanafsi mimi siwezi lala bila kuliperuzi jukwaa la wakubwa JLW kwakuwa ndio jukwa pekee ninaloliona watu wapo real ktk wanavyovipost
Na wewe je?