Ni kabila gani yenye hasira ukiachana na haya???

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Kuna makabila yanapenda kukutania wewe tu,.. Ukijichanganya kuwatania wao wanakua na povu la karibu mno.
Siku ambazo niliwahi kutembea bongo kikazi na binafsi niliyagundua haya....

Wale wazee wa chalii yangu.
Wale wazee wa chamaki mchanga.
Wale wazee wa aroo rirete iroo.

Hayo ndo nilibahatika kuyajua mapema mnooo. Sijui kama kuna mengine unaweza kunikumbusha.
 
WAKIGOMA aiseeeeeeee sijui kutokana na ufupi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…