Ni kama vile Mbowe na wenzake wametumikia adhabu zote mbili ile ya kufungwa jela na kulipa faini, au imekaaje wakuu?

Ni kama vile Mbowe na wenzake wametumikia adhabu zote mbili ile ya kufungwa jela na kulipa faini, au imekaaje wakuu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nilipowaona viongozi wa Chadema wakitoka Segerea na vipara ndio nikajiuliza, ukikubali kulipa faini haupewi walau muda kidogo wa kukamilisha taratibu za kiuhasibu?

Kwa maana kitendo cha kunyolewa nywele na kutupws gerezani ni kwamba tayari una namba inayoonyesha umeingia lini na utatoka lini labda upite msamaha wa Rais hapo katikati ndio utawahi kutoka.

Hii sheria ipitiwe upya mfungwa akikubali kulipa faini apewe muda fulani labda siku 3 na akishindwa ndio atupwe gerezani na hasa faini yenyewe inapohusisha kiasi kikubwa cha fedha.

Kuna nchi hapa Duniani hata kifungo cha jela hakianzi siku hiyo hiyo unapewa wiki mbili za kuweka sawa mambo ya familia yako ndio unaripoti gerezani.

Maendeleo hayana vyama!
 
That's Jo
Nilipowaona viongozi wa Chadema wakitoka Segerea na vipara ndio nikajiuliza, ukikubali kulipa faini haupewi walau muda kidogo wa kukamilisha taratibu za kiuhasibu?

Kwa maana kitendo cha kunyolewa nywele na kutupws gerezani ni kwamba tayari una namba inayoonyesha umeingia lini na utatoka lini labda upite msamaha wa Rais hapo katikati ndio utawahi kutoka.

Hii sheria ipitiwe upya mfungwa akikubali kulipa faini apewe muda fulani labda siku 3 na akishindwa ndio atupwe gerezani na hasa faini yenyewe inapohusisha kiasi kikubwa cha fedha.

Kuna nchi hapa Duniani hata kifungo cha jela hakianzi siku hiyo hiyo unapewa wiki mbili za kuweka sawa mambo ya familia yako ndio unaripoti gerezani.

Maendeleo hayana vyama!
tapatalk_1584159255732.jpeg


Jr[emoji769]
 
Siyo muda wote tunafanya siasa bwashee!
Kuna shida kubwa kwa watawala na vyombo vya dola. Majundi haya mawili, mara nyingi, utendaji wao kazi ni wa hovyo sana. Wanapenda kufanya kazi kwa kuwakomoa watu badala ya sheria na kutanguliza dhamira njema.

Polisi hastahili kuwa na chuki binafsi dhidi ya mtuhumiwa au mtu aliyeadhibiwa na chombo kama mahakama. Anachotakiwa kufanya ni kutimiza wajibu wake tu.

Na askari magereza anastahili kuwa na mahusiano mazuri na wafungwa. Hana sababu ya kuishi nae kama adui.
 
Kuna shida kubwa kwa watawala na vyombo vya dola. Majundi haya mawili, mara nyingi, utendaji wao kazi ni wa hovyo sana. Wanapenda kufanya kazi kwa kuwakomoa watu badala ya sheria na kutanguliza dhamira njema.

Polisi hastahili kuwa na chuki binafsi dhidi ya mtuhumiwa au mtu aliyeadhibiwa na chombo kama mahakama. Anachotakiwa kufanya ni kutimiza wajibu wake tu.

Na askari magereza anastahili kuwa na mahusiano mazuri na wafungwa. Hana sababu ya kuishi nae kama adui.
Nimekuelewa bwashee magereza ni chuo cha mafunzo siyo " kuzimu"
 
Mkuu hongera kwa uzi chanya,tunapaswa kuishi kiugwana namna hii, nini maoni yako mateso viongozi waliofika kumlaki Mbowe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee hizo ndio gharama za kuwa mwanasiasa kuna wakati wa kucheka na wakati wa kununa.

Sema tu matumizi ya nguvu kupita kiasi labda ndio mjadala!
 
Back
Top Bottom