Ni kampuni gani ya kuaminika inayofanya clearing and forwarding?

Yukwapi

Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
90
Reaction score
170
Habari Wana Jf,

Ni kampuni gani ya kuaminika inayofanya clearing and forward mzigo kutoka china hadi Arusha yenye bei iliyo rafiki?

Naombeni msaada ikiwezekana na office zao zilipo
 
Chagulaga Company limited ofisi zao zipo Kariakoo kwenye jengo la CCM Floor 4
 
clearing and forward mzigo kutoka china hadi Arusha
Habari.

Kwa kuzingatia upo Arusha, ni vyema kuwa na mtu wa kufuatilia bila kujari ni kampuni ipi tutafanya nayo kazi.

Nipe kazi nikufanikishie hatua zote, Manunuzi + kusafirisha + clearance + Delivery hapo Arusha.

Rejea hii thread utaona nina uzoefu: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
yenye bei iliyo rafiki?
Bei huwa ni kwa CBM iwapo mzigo unakuja kwa meli, na kwa kilogram iwapo unakuja kwa ndege, kwenye bei hakuna tofauti kubwa kati ya kampuni moja ukilinganisha na nyingine. Mfano tu 1kg huwa kati ya usd $13-15 kutegemea aina ya bidhaa.

Picha: Mifano kwa bei katika KG, kwa usafiri wa ndege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…