Ni kawaida au ana tatizo?

Ramson97

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2017
Posts
221
Reaction score
152
Habari,kuna dogo hapa wa kiume kwenye boundary ya testis(mayai) zake na mapaja kuna kama layer au utandu ambao umefika mpk mapajani kidogo,
Na ukifika wakati fulan (joto) huwa kama kunatoa ungaunga mweusi...
Je ni kawaida au kuna tatizo?
 
Habari,kuna dogo hapa wa kiume kwenye boundary ya testis(mayai) zake na mapaja kuna kama layer au utandu ambao umefika mpk mapajani kidogo,
Na ukifika wakati fulan (joto) huwa kama kunatoa ungaunga mweusi...
Je ni kawaida au kuna tatizo?
Hizo ni Fungus Mkuu

Muone Daktari upate tiba
 
Ndio ni fungus na hata mimi nilikua na tatizo kama hilo bahati nzuri nilitibu vyema na sasa nipo safi kabisa. Kikubwa atibiwe na azingatie usafi ni muhimu sana
 
Habari,kuna dogo hapa wa kiume kwenye boundary ya testis(mayai) zake na mapaja kuna kama layer au utandu ambao umefika mpk mapajani kidogo,
Na ukifika wakati fulan (joto) huwa kama kunatoa ungaunga mweusi...
Je ni kawaida au kuna tatizo?
Itakuwa fungus aina Taenia Cruris (jock itch,), mwambie aende akapime hospital
 
Habari,kuna dogo hapa wa kiume kwenye boundary ya testis(mayai) zake na mapaja kuna kama layer au utandu ambao umefika mpk mapajani kidogo,
Na ukifika wakati fulan (joto) huwa kama kunatoa ungaunga mweusi...
Je ni kawaida au kuna tatizo?
Wewe ndio muhanga... Nenda hospital katibiwe hizo fungus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…