mara kwa mara mtu mwenye jinsia ya kiume akimaliza punguza sumu katika mwili hufanya nini???????/
kwa uchunguzi wa haraka inaonekana wanatema mate eneo lililo mwagiwa sumu hiyo.
Je ni mazoeaaaaaaaa, au ndo vijimambo?
na akina dada wanafanya hivyo pia or na wao wanayo yakwao mpyaaaaaaaaaaa???????!!!!