otimbiotimbi
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 132
- 230
Ni kero gani huwa hupendi kwenye daladala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww uko kama mimi hiwaga naona wanazngua mtu anaanzsha mada akitegemea utamsapoti mda mwngne watu tushavurugwa wanaleta habari za mipira au siasa mara diamond kafanya hiviNapenda nikipanda daladala nisizungumzishwe! Yaani nisiwe na maongezi na mtu yeyote mpaka nafika.
Masuala ya kuanzisha story ukitegemea mi nitakusapoti nakuhakikishia utaongea mwenyewe.
Yaani hadi leo unaogopa ngoma?Kukaa na mwanamke hasa mdada au mmaza anayelika..
Maana lazima nitaondoka na namba na baada ya hapo nafsi itanisuta...
Hapa nina kama namba 50, isingekuwa ngoma sijui ingekuwaje.
Ninazo nyingi haswa Hawa wadad wa buza wengi tu ninazo Seema wanapenda hell mno juz mmoja ananimba nikamnunulie nguoKukaa na mwanamke hasa mdada au mmaza anayelika..
Maana lazima nitaondoka na namba na baada ya hapo nafsi itanisuta...
Hapa nina kama namba 50, isingekuwa ngoma sijui ingekuwaje.
Nipe mie hizo namba, kama ngoma tayari ninayoKukaa na mwanamke hasa mdada au mmaza anayelika..
Maana lazima nitaondoka na namba na baada ya hapo nafsi itanisuta...
Hapa nina kama namba 50, isingekuwa ngoma sijui ingekuwaje.