Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Kuna ile tabia ya rubani kutokupunguza speed akikaribia kwenye bamz, mnajikuta nyote mnapaishwa juu [emoji23][emoji23]
Kuna ile tabia ya abiria waliokaa position za madirishani, muda wote huwashwa kufungua vioo, tunajikuta tumefika huku macho yamejaa machozi huku tunatiririsha mafua mepesi [emoji23][emoji23]
Ile tabia ya konda kuweka movie za kibongo inakera sana! Hasahasa zile movie za jini linatokea sebureni likiwa limevaa jezi ya yanga [emoji23][emoji23]
Wale abiria ambao humuomba rubani kila dakika asimamishe ndege wakachimbe dawa huwa wanakera sana, wanatuchelewesha kufika tunakokwenda[emoji23][emoji23]
Tabia ya rubani kuingia kwenye ndege huku amevaa boya! Ndege ikiwa angani, anafungua tank la mafuta, anatikisa kichwa, anarekebisha boya lake, anakamatia usukani tena! [emoji23][emoji23]
ONGEZEA KERO ZAKO [emoji23][emoji23]
Kuna ile tabia ya abiria waliokaa position za madirishani, muda wote huwashwa kufungua vioo, tunajikuta tumefika huku macho yamejaa machozi huku tunatiririsha mafua mepesi [emoji23][emoji23]
Ile tabia ya konda kuweka movie za kibongo inakera sana! Hasahasa zile movie za jini linatokea sebureni likiwa limevaa jezi ya yanga [emoji23][emoji23]
Wale abiria ambao humuomba rubani kila dakika asimamishe ndege wakachimbe dawa huwa wanakera sana, wanatuchelewesha kufika tunakokwenda[emoji23][emoji23]
Tabia ya rubani kuingia kwenye ndege huku amevaa boya! Ndege ikiwa angani, anafungua tank la mafuta, anatikisa kichwa, anarekebisha boya lake, anakamatia usukani tena! [emoji23][emoji23]
ONGEZEA KERO ZAKO [emoji23][emoji23]