iptl skanska
Member
- Aug 19, 2024
- 10
- 19
Habarini jamani,
Naomba kujua kero mnazopata wafanya biashara na wanunuaji.
Nafanya utafiti tu ili niweze kujua shida kubwa hasa ni nini kwa pande zote mbili.
Kwa mwenye mda anaweza kucomment hapa.
Naomba kujua kero mnazopata wafanya biashara na wanunuaji.
Nafanya utafiti tu ili niweze kujua shida kubwa hasa ni nini kwa pande zote mbili.
Kwa mwenye mda anaweza kucomment hapa.