Naona Michelle umeguswa na cheni ya muguu mpaka umekimbia kwanza ukavute pumnzi.
Mmmh, tuwasikilze wenyewe waseme.... sina la kuchangia!!!
duuu!!! mwenye mali?
ivi nan anajihesabu mimi wake?
mama yangu aliyenikuza tumbon miez 9 au ako kajamaa nilikokutana nako baada ya kuachana na mwajuma na mimi baada ya kuachjana na hamisi?
wew ebu nyosha kiswahili....MWENYE MALI NI ALIYEKUZAA.
nikitaa kikukuku au kibata nakivaa kwa raha zangu..
ata nisipovaa kikuku mtu akitaka kukudefine vbaya anakuundia tu hoja then unakuwa MBAYA...so live ya life z wat mataz...
wengne ata ukivaa chup wanasema eenhh jaman uyu nae anaringa kila siku anavaa chup...sasa walitaka nitembee uchi..??
wanadamu wanapenda kusema kwa kila wanachooona so wewe kuwwa huru vaaa kika kitu unachojisikia wakisema ni pat n pacel ya ubnadamu no wonder.
nawasilkisha naenda kulala.
muulize mbona wabibi wa kimasai wanavaa MAKUKU? Ina maana wanawazidi wa kuvaa vikuku?Nashanga...lol,habari yake bana???
Watu wana mis conception na hivyo vikuku.....
Ni urembo tu kwa wengi wetu
duuu!!! mwenye mali?
ivi nan anajihesabu mimi wake?
mama yangu aliyenikuza tumbon miez 9 au ako kajamaa nilikokutana nako baada ya kuachana na mwajuma na mimi baada ya kuachjana na hamisi?
wew ebu nyosha kiswahili....MWENYE MALI NI ALIYEKUZAA.
nikitaa kikukuku au kibata nakivaa kwa raha zangu..
ata nisipovaa kikuku mtu akitaka kukudefine vbaya anakuundia tu hoja then unakuwa MBAYA...so live ya life z wat mataz...
wengne ata ukivaa chup wanasema eenhh jaman uyu nae anaringa kila siku anavaa chup...sasa walitaka nitembee uchi..??
wanadamu wanapenda kusema kwa kila wanachooona so wewe kuwwa huru vaaa kika kitu unachojisikia wakisema ni pat n pacel ya ubnadamu no wonder.
nawasilkisha naenda kulala.
mwta nitakugechaaaaaaaaaaa!!!!!
wap murrrahh!!!!