Uganda wao huchaji kama screpa mkuu??Mkuu hakuna utaratibu unaoeleweka, labda lipeleke uganda utalipia kama screpa then peleka gari yako uganda kavalishe bodi urudi.
Jarbu kuwapigia tra uulizie mkuu inaweza kuwa msaada pia.Na sisi tungekuwa na utaratibu kama huo ingekuwa msaada sana.
Ndiyo mkuu norsecut Uganda wanauza kama screpa sie unaambiwa ni gariUganda wao huchaji kama screpa mkuu??
kuna kipindi darexpress waliagiza bodi za marcopolo hawakurudia tena sijui kiliwakuta nini!Kama ni jipya yaani CKD halina kodi
Duuuh hapo majibu tushayapata kuwa walipigwa kodi ya kufa mtu. Sasa kwa mtindo huu watakosa mapato kwa watu wanaoogopa kuagiza wakihofia tozo kubwa la kodikuna kipindi darexpress waliagiza bodi za marcopolo hawakurudia tena sijui kiliwakuta nini!
Ningekuwa naishi Bukoba ningefanya kama ulivyoshauri mkuu ila duuh kutoka Dar to Uganda ni kipande haswa.Ndiyo mkuu norsecut Uganda wanauza kama screpa sie unaambiwa ni gari
Hivi kumbe BeForward walifunga warehouse yao pale. Sasa hii serikali yetu nayo vipi mbona inalala sana.Hii issue iliwasumbua sana Befoward mpaka wakaacha kuleta nose cut na baadaye kufunga kabisa warehosue yao ya spare pale Tabata. Hakuna mfumo maaalum it seems wa kucharge vipande vipande vya gari vinavyoingizwa nchini...
na wimbo ndio 2naucheza ss.Kila mtu atafikiwa kisha wimbo tutaimba mmoja tu!!! Muda ni mwalimu mzuri sana