Naona unavyojisikia kauhuru fulani hivi.Mimi ni milioni mbili, yaani iliyeyuka kama barafu juani.
Hahaha pole ila wansemaga ninge hujamwisho nu kabisadala elfu 14.5 paka leo najuta kuzungusha champagne ndani ya club Hong Kong
kabisa mkuuInayeyukaga tu bila kujua unakuja kujikuta una elf 50
SiaminiTsh.125,000/=
Tsh.125,000/=
Hahaha Mzee we mwogeze 7000 hiyo 800 niachie nimalizieNikuongeze 7800/= baby shem?
Niamini mkuu, huo ndo ukweli mchunguSiamini
Nikuongeze 7800/= baby shem?
Nitumieni hiyo miamala kwenye namba yangu ileile inayoishia na 12....ila msisahau kutuma na ya kutolea [emoji39][emoji39]Hahaha Mzee we mwogeze 7000 hiyo 800 niachie nimalizie