Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,751
Nakumbuka kuna kipindi nilikua na mwanamke flani hvi (mweupee mwembamba, msafiiii) kiukweli hapo ndio udhaifu wangu ulipo.
Mwanamke wa kwanza mweupe,mwembamba,msafii nilimpa 60,000 kwa mkupuo na nilikua elfu 20 hizi 30 namtoa sana pamoja na out za kufa mtu.
Mwanamke wa pili huyu sasa nikimkumbuka ndio natamani hata kujitupa jalalani!! Elfu 50 hizi nishampa sana, laki laki hizi usipime nishampa sana, lakini nakumbuka nilishampaga 400,000 Taslimu 😭
KIUKWELI KAMA UNAJIJUA WEWE NI MWANAMKE MWEUPE, MWEMBAMBA, MSAFIII NAOMBA USIWE NA MAZOEA NAMIMI MAANA UTANIFILISI, MAANA MINATOAGA TUU PESA
Mwanamke wa kwanza mweupe,mwembamba,msafii nilimpa 60,000 kwa mkupuo na nilikua elfu 20 hizi 30 namtoa sana pamoja na out za kufa mtu.
Mwanamke wa pili huyu sasa nikimkumbuka ndio natamani hata kujitupa jalalani!! Elfu 50 hizi nishampa sana, laki laki hizi usipime nishampa sana, lakini nakumbuka nilishampaga 400,000 Taslimu 😭
KIUKWELI KAMA UNAJIJUA WEWE NI MWANAMKE MWEUPE, MWEMBAMBA, MSAFIII NAOMBA USIWE NA MAZOEA NAMIMI MAANA UTANIFILISI, MAANA MINATOAGA TUU PESA