baiter New Member Joined Apr 22, 2022 Posts 2 Reaction score 1 May 13, 2022 #1 Je, unafahamu nijinsigani mahusiano yamechukua asilimia kubwa kwenye maisha ya mwanadamu?
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 32,529 Reaction score 76,691 May 13, 2022 #2 Hata hatutaki kujua mpaka mpunguze bei ya mafuta kwanza!
kirakauu Member Joined Mar 29, 2022 Posts 78 Reaction score 80 May 13, 2022 #3 Mbona mimi sijawahi husiana na life linasonga
American Dream JF-Expert Member Joined Mar 18, 2022 Posts 313 Reaction score 352 May 13, 2022 #4 Nilijua utakuwa umeandika jibu lako, haya wasalimie hiyo couple kwenye picha
Nkundwe Sr JF-Expert Member Joined Nov 30, 2014 Posts 6,289 Reaction score 9,748 May 13, 2022 #5 Hatujui
RTI JF-Expert Member Joined Dec 20, 2018 Posts 2,423 Reaction score 7,155 May 13, 2022 #6 Nafasi ya mahisiano inategemeana na mtu anavyo wapa umuhimu hayo mahisiano. Wakati ww unaona hauwezi kuishi bila kuwa kwenye mahisiano, kuna wengine wanaona mahisiano ni miyeyusho tu na kujipa mawazo.
Nafasi ya mahisiano inategemeana na mtu anavyo wapa umuhimu hayo mahisiano. Wakati ww unaona hauwezi kuishi bila kuwa kwenye mahisiano, kuna wengine wanaona mahisiano ni miyeyusho tu na kujipa mawazo.
Jaiter JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 618 Reaction score 1,552 May 13, 2022 #7 Bora yawe na umuhimu lakini yasiwe ya LAZIMA...
S Superb2014 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2017 Posts 9,266 Reaction score 7,426 May 13, 2022 #8 Nimekosa cha kuandika.
Dolla_Mbili JF-Expert Member Joined May 28, 2017 Posts 1,207 Reaction score 2,981 May 13, 2022 #9 Mahusiano ndio maisha na maisha ndio mahusiano, huwezi kuvitenganisha
Ncha Kali JF-Expert Member Joined Sep 19, 2019 Posts 15,335 Reaction score 29,114 May 13, 2022 #10 Penzi jipya ni tamu kila wakati.
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 May 13, 2022 #11 aiseee
Beesmom JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 17,202 Reaction score 28,732 May 13, 2022 #12 Siyo lazima kama huna hisia
The Worst JF-Expert Member Joined Sep 12, 2021 Posts 6,108 Reaction score 21,140 May 13, 2022 #13 Feminist wa JamiiForums watakwambia mahusiano hayana umuhimu wakirudi kwenye store zao walizopanga wanajikunja na madildo na kubaki kushauriana wenyewe kwa wenyewe wasijue wanazidi kupotezana.
Feminist wa JamiiForums watakwambia mahusiano hayana umuhimu wakirudi kwenye store zao walizopanga wanajikunja na madildo na kubaki kushauriana wenyewe kwa wenyewe wasijue wanazidi kupotezana.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 13, 2022 #14 Nafasi ndogo sana... Kupigana matukio ndiyo kumechukua nafasi kubwa...