Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,526
Habari za muda huu wana Jamii Forums!
Twende sambamba kwenye kiini cha kichwa cha habari
Nakumbuka mnamo mwaka 2002 nikiwa na umri wa miaka 10 tulikuwa tunaishi wilayani Maswa katika kota za polisi,
Nilikuwa na kaka yangu alikuwa na umri wa miaka 16 , Tulikuwa tumezoeana kana kwamba utani muda wote ndo ilikuwa sehemu ya maisha yetu,
Basi bhana tukawa na mchezo wa kutaniana kuwa kaka unaitwa na baba akienda anaambiwa haitwi hivyo hivyo kwangu pia alipenda kunidanganya naitwa nikienda kwa Baba kumuuliza kama ananiita anakanusha nikirudi kwa kaka ananidhihaki,
Ikatokea siku nikiwa nacheza akaniambia DOLA unaitwa na BABA nikijua kuwa ananitania nikamjibu SITAAKIII akaniambia Dola sikutanii unaitwa nikamjibu KAMWAMBIE SITAKII,
kaka akarudi kwa Baba kuripoti kuwa nimekataa,
Hahahaaa aisee mzee akaja akaniambia wewe Dola mimi nakuita unasemaje?
Akanipa adhabu ya kuruka kichura chura huku nikiwa napigwa nyaya za mgongo na mateke wee mpaka leo nikikumbuka huwa nacheka sanaa!
Vipi kuhusu wewe?
Twende sambamba kwenye kiini cha kichwa cha habari
Nakumbuka mnamo mwaka 2002 nikiwa na umri wa miaka 10 tulikuwa tunaishi wilayani Maswa katika kota za polisi,
Nilikuwa na kaka yangu alikuwa na umri wa miaka 16 , Tulikuwa tumezoeana kana kwamba utani muda wote ndo ilikuwa sehemu ya maisha yetu,
Basi bhana tukawa na mchezo wa kutaniana kuwa kaka unaitwa na baba akienda anaambiwa haitwi hivyo hivyo kwangu pia alipenda kunidanganya naitwa nikienda kwa Baba kumuuliza kama ananiita anakanusha nikirudi kwa kaka ananidhihaki,
Ikatokea siku nikiwa nacheza akaniambia DOLA unaitwa na BABA nikijua kuwa ananitania nikamjibu SITAAKIII akaniambia Dola sikutanii unaitwa nikamjibu KAMWAMBIE SITAKII,
kaka akarudi kwa Baba kuripoti kuwa nimekataa,
Hahahaaa aisee mzee akaja akaniambia wewe Dola mimi nakuita unasemaje?
Akanipa adhabu ya kuruka kichura chura huku nikiwa napigwa nyaya za mgongo na mateke wee mpaka leo nikikumbuka huwa nacheka sanaa!
Vipi kuhusu wewe?