Ni kifo cha Muigizaji 'Movie Character' gani kilikuumiza hadi ukaacha kutazama muendelezo wa Filamu hiyo?

Ni kifo cha Muigizaji 'Movie Character' gani kilikuumiza hadi ukaacha kutazama muendelezo wa Filamu hiyo?

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Series ya Money Heist ilikuwa ya moto sana hadi pale Nairobi na Tokyo walipofariki yaani nilikosa nguvu ya kuendelea kutazama muendelezo wa Tamthilia​

images.jpeg
 
Walifariki? Ama uhusika wao ulikoma? Watanzania tubadirike kifikra
 
Kwenye ile Filamu ya NARCO (Medelin Cartel ) Episod ya Pili, alipokufa Kanali Carijo sijui…!! Yaani Roho iliniuma, yaani huwa siangalii tena…
 
Adan canto wa the cleaning lady ( huyu alikufa in real life pia)
 
Rob Stark - Game of Thrones
Sikujua kama yule binti liekuwa anamfundisha sir devos kusoma anaweza uliwa kikatili namna hile tena kwa baraka za baba yake aliekuwa mfalme the red women ni mshenzi walimchoma moto yule alilia sana wamuache baada ya hapo nikaamini ule usemi wa kila character unaenza kumpenda kwenye game of thrones basi anakufa hapo mwanzo nilianza kuzikubali akili a talilanista lile panga la uso nilijua ndio kwisha habari yake lakini ndio hand of the queen huko kwa khalees!
 
Danerys of house targaryen,breaker of chain,unburnt,queen of the seven kingdom….
 
Back
Top Bottom