Ni kiherehere tu hamna lolote, mambo ni kusakafia tu

Sikununu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
341
Reaction score
100
Nasema ni kiherehere tu kutokana na utafiti nilioufanya kwa zaidi ya miaka 10,baada ya kutoroka toka Tanga kwa yule shankupe aliyetaka kuniteka wakati nipo kwenye workshop now nipo Darisalama kwenye mafuriko.Watu wengi wamekuwa na nadhalia ya kwamba kufanya mapenzi ni mbwembwe nyingi na vimuhemuhe kibao but hiki ni kiherehere tu.

Kuna staili nyingi za kunjunjana ila staili ambayo ni kongwe na inajulikana kwa miaka mingi tena kwa utafiti niliyofanya ndio inayosababisha mimba hasa kipindi hichi cha mafuriko ni staili ya waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri dunia au kifo cha mende kama kuku alivoumbwa kupekua pindi tu anapotoka kuanguliwa ndivyo staili ya waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani ilivyo izo zingine ni kiherehere tu na kusumbuana.

Nimetembea vijiji vingi wakati nafanya kazi kwenye shirika moja lisilo la kiserikali nimejionea haya yote wanawake wengi wanapenda staili ya kifo cha mende ukimwambia tupige mbuzi kagoma anakubali ila ndio kama umemrazimisha halafu nimegundua ukiwa unamsakafia ndio habari ya mjini.

Tena wanawake wa kijijini watamu kama wameugwa na nazi yaani hawana mbwembwe viuno vyao wanakata taratibu uku kama wanajivunja yaani hayo mauroda haaa Rhoda wangu upo wapi, ndio maaana hata wamisionari walipokuja waliwashauri watu watumie kifo cha mende izo zingine ni dhambi hata jina lake ndio maana linaitwa missionary staili dili kusakafia na kifo cha mende.
 
Sikununu

Baada ya kuwaza ngono, pitia hapa ujikumbushe mambo kitaifa
 

Attachments

  • 1431685725452.jpg
    37.1 KB · Views: 2,036
Last edited by a moderator:
Mtafiti kabla ya kuambiwa na wamissionary tutumie hiyo style je babu zetu waliitumia style ipi?
 
Nimecheka tuu Rhoda hadi ameitwa jf never boring
 
Na hii avatar ingenoga sana ungejiita Cookie, bahati mbaya jina hili tayari lina mwenye humu.

Nimecheka tuu Rhoda hadi ameitwa jf never boring
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…