Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Napata Wakati mgumu kujua kimfumo ni Kiongozi yupi anayebeba maono au vision nzima ya mkoa au jiji? Najiuliza kwa sababu juzi wameteuliwa wakuu wa Mikoa na niliamini wao ndio wasimamizi wa malengo, maono na mipango ya Mkoa. Kinyume chake ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma pekee ndiye aliyetoa hotuba inayoweza kuonekana kama ana vision flani dhidi ya Mkoa wa Dodoma. Waliobaki hauoni kama wanajua wanataka kufanya nini na Kama awajui, usipotoa vision yako kwenye hotuba zako za awali itakuwa ngumu kutoa vision yako huko mbele uendako.
Mfano mzuri, Rais anapoapishwa uenda bungeni kwa mfumo wa kwetu nakueleza ana maono gani. Si maono yote yapo kwenye ilani Bali maono mengine utokana na utashi wake na kiu aliyonayo ikiunganishwa na uwezo binafsi aliojaliwa na Mwenyenz Mungu.
Niombe tujiulize nakumkumbusha huyo mwenye vision ya eneo flan kwamba waliochini yake wanataka kujua anapotaka waelekee ili wamfuate. Sidhani Kama kwa Mfano anachotamka kwenye mikutano na watendaji na hotuba za RC Mwanza ndio vision ya Mwanza. Sidhani Kama alichozungumza RC Dsm ndiyo hotuba ya vision yake dhidi ya DSM nk.
Tungetamani kujua tunakwenda wapi? Au Kama RC na DCs siyo Marais wa Mikoa na wilaya Basi Marais wajitokeze watuambie cc waongozwa vision ni nini?
Mfano mzuri, Rais anapoapishwa uenda bungeni kwa mfumo wa kwetu nakueleza ana maono gani. Si maono yote yapo kwenye ilani Bali maono mengine utokana na utashi wake na kiu aliyonayo ikiunganishwa na uwezo binafsi aliojaliwa na Mwenyenz Mungu.
Niombe tujiulize nakumkumbusha huyo mwenye vision ya eneo flan kwamba waliochini yake wanataka kujua anapotaka waelekee ili wamfuate. Sidhani Kama kwa Mfano anachotamka kwenye mikutano na watendaji na hotuba za RC Mwanza ndio vision ya Mwanza. Sidhani Kama alichozungumza RC Dsm ndiyo hotuba ya vision yake dhidi ya DSM nk.
Tungetamani kujua tunakwenda wapi? Au Kama RC na DCs siyo Marais wa Mikoa na wilaya Basi Marais wajitokeze watuambie cc waongozwa vision ni nini?