gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,312
- 3,345
Habari,
Kwanza kwa faida ya wale wasio elewa blighted ovum ni tatizo ambalo huwakuta wakina mama la kuharibika na hatimaye mimba kutoka.
Naomba kwa wale wenye utaalam,uzoefu na wabobezi kwenye afya ya uzazi waeleze chanzo,kinga na tiba ya tatizo hili kwa faida ya wote niwatakie Siku njema.
Asante
Kwanza kwa faida ya wale wasio elewa blighted ovum ni tatizo ambalo huwakuta wakina mama la kuharibika na hatimaye mimba kutoka.
Naomba kwa wale wenye utaalam,uzoefu na wabobezi kwenye afya ya uzazi waeleze chanzo,kinga na tiba ya tatizo hili kwa faida ya wote niwatakie Siku njema.
Asante