Chanzk chake kikubwa ni Chromosomes abnormality yaani unakuta yai au sperm inaupungufu kwenye DNA iliyobeba au unakuta yai halina Nucleus kwa ndani kwahiyo sperm inaenda kurutubisha yai lisilo na nucleus kwa ndani kwahiyo wakati wa kuendelea na uumbaji kunatokea kuwa Embryo hajiform so ndio maana inaitwa Unembryonated pregnant. (Brighted ovum)Habari,
Kwanza kwa faida ya wale wasio elewa,
blighted ovum ni tatizo ambalo huwakuta wakina mama la kuharibika na hatimaye mimba kutoka.
Naomba kwa wale wenye utaalam,uzoefu na wabobezi kwenye afya ya uzazi waeleze chanzo,kinga na tiba ya tatizo hili kwa faida ya wote.
Niwatakie Siku njema.
thnx.