Ni kipi haswa kilikuvitia kujiunga na Jamii forums

Ni kipi haswa kilikuvitia kujiunga na Jamii forums

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Ni jambo gani haswa lilikuvutia hadi ukaamua kujiunga na Jamii forums. Na je tangu umejiunga huu mtandao wa Jamii forums umekusaidiaje na wewe umeutumia vipi kuwasaidia wengine?
Mimi binafsi nilijiunga 2007 ila kutokana na hasira na mihemko nikaishia kula IP ban!
 
Nilivutiwa na hii familia baada ya kuona kila kitu cha muhimu nnachokitaka kipo ila jukwaa la tech ndo lilinifanya nikafungua account ya kwanza nikiwa na umri wa miaka 17 tu
 
Mimi mwalimu Rtc na wengineo kule tech kulikuwa kuna nondo zinashushwa hasa kwenye maswala ya mobile tech nikiajikuta nina maswali ya kuuliza ndipo nikaona nifungue akaunti kabisa
Huyo mwalimu ana nondo gani sasa
 
Nilijiunga kipindi nimenunua simu yenye internet. Nilikua najiunga kila mtandao nkaukuta na huu 2012 hiyo kama sikosei



Ila nimeanza kusoma threads rasmi 2020
 
Umejoin lini humu unaonekana huna hata miaka 2
Nimejoin humu mara kwa ya kwanza 2015 nadhani mwalimu rtc na chief mkwawa ndo watu wenye michango mingi sana jukwaa tech hasa upande wa mobile tech na kuagiza simu pamoja na reviews.... kuhusu swala la muda wangu humu jf hata hii akaunti ninayotumia tu hapa ina zaidi ya miaka miwili sijui unataka kumaanisha nini!!?
 
Nimejoin humu mara kwa ya kwanza 2015 nadhani mwalimu rtc na chief mkwawa ndo watu wenye michango mingi sana jukwaa tech hasa upande wa mobile tech na kuagiza simu pamoja na reviews.... kuhusu swala la muda wangu humu jf hata hii akaunti ninayotumia tu hapa ina zaidi ya miaka miwili sijui unataka kumaanisha nini!!?
Namanisha humjui vzr huyo mwalimu
 
Majukwaa mawili: Jamii intelligence pamoja na Siasa.

Enzi hizo Mzee Mwanakijiji ndiyo alikuwa anaongoza kwa kutema madini adimu sana humu
 
Back
Top Bottom