hujawahi fuatilia jukwaa la tech kwa umakini waliopo kule muda mwingi ukimtaja huyo mtu wanaelewa unamaanisha niniHuyo mwalimu ana nondo gani sasa
Nimejoin humu mara kwa ya kwanza 2015 nadhani mwalimu rtc na chief mkwawa ndo watu wenye michango mingi sana jukwaa tech hasa upande wa mobile tech na kuagiza simu pamoja na reviews.... kuhusu swala la muda wangu humu jf hata hii akaunti ninayotumia tu hapa ina zaidi ya miaka miwili sijui unataka kumaanisha nini!!?Umejoin lini humu unaonekana huna hata miaka 2
Hii ni id yangu ya 2, ile ya kwanza niliiacha kitambo mkuuUnajikumbuka wakati ndio mgeni mgeni hapa jukwaani duh saiv kidogo umekomaa akili!
Namanisha humjui vzr huyo mwalimuNimejoin humu mara kwa ya kwanza 2015 nadhani mwalimu rtc na chief mkwawa ndo watu wenye michango mingi sana jukwaa tech hasa upande wa mobile tech na kuagiza simu pamoja na reviews.... kuhusu swala la muda wangu humu jf hata hii akaunti ninayotumia tu hapa ina zaidi ya miaka miwili sijui unataka kumaanisha nini!!?