Ni kipi kipindi bora cha asubuhi kwenye radio?

Leo tena dahuu yule simwelewagi kabisa angetoka angekuja demu mwingine hata dina kipindi kingekuwa kitamu sana kwa sasa kipo vagaravagara, pb kipo poa na xxl kama kawaida bdozen hajapunguza chochote kuondoka kwake
 
hata vipindi vyao katika tv ni vizuri kuliko vipindi vya tv tanzania. redio zao wanavipindi vizuri kuliko tz kenya wapo vizuri
Clouds wapo vizuri kwenye radio kwenye tv ni eatv nisiwe mnafiki
 
Well said mkuu... Vipi kipindi cha Leo tena? Huwa wananivutia sanaa, hasa kipindi akiwepo yule Musa kama sikosei kwenye ile timu yao.
Kipindi hicho kimekuwa kibaya tu zaidi ya heka heka na zilizokiki tu ndivyo navyosikilizaga labda wamtoe dahuu wamrudishe dina
 
hakuna kitu kama hichoo mkuu na maelezoo yako marefu ambayo sijaona point hapoo...sijui watangazaji sijui kipanyaa.... sijui ubunifuu
naona unaongelea ushabiki tu mandazi
siku tafuta bbc ithaa ya kingereza inapofika asubuhi kule kwao program za vipindi vyao vinakuajee.....
 
Leo tena dahuu yule simwelewagi kabisa angetoka angekuja demu mwingine hata dina kipindi kingekuwa kitamu sana kwa sasa kipo vagaravagara, pb kipo poa na xxl kama kawaida bdozen hajapunguza chochote kuondoka kwake
Ruge alkuwa mtu mbaya sana,sijui kwann almfanyia vile dina,alivyoenda kujfungua akaweka mtu mwingine na ndo ikawa mazima
 
Tatizo GoodMorning utani mwingi na kuchekacheka sana. Inatakiwa wajipange. Angalau David Rwenyugira anajitahidi

Kipind kilikua magic fm orest kawau, marry, jamaa mwingine nnimemsahau na mzee mmoja walikua wanamuiita google dah back days iyo 2014 kushuka chin kabla haijawa ccm
 
Leo nimesikiliza kipindi cha Good morning cha wasafi fm hadi nikashangaa..wale jamaa wanapiga kelele kama wako kijiweni..kila mtu anataka kuongea na kila mtu anatamani asikike kiasi kwamba hata kama mwingine anaongea huwa anatamani aropoke chochote..Mzee zembwela ndo usiseme mikelele kama yote..Mara waanze kuimbishana nyimbo kama watoto kwakweli inafikirisha..Ukiacha matangazo ambayo yanachukua karibu 50% ya kipindi, hakuna content ya maana ambayo unaweza kuipata kutoka kwa wale jamaa..Kila mtu anajifanya mjuaji na masikhara mengi yaliyopitiliza

cc sinza pazuri Slowly najua nyinyi mnaweza mkawafikishia huu ujumbe..waambieni kipindi ni kizuri ila basi wapunguze utoto utoto na sauti zisizo na mpangilio.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…