Ni kipi TFF kimemshinda kwenye mkataba tukumbuke mwenye Mali ya mkataba ni GSM na TFF

Ni kipi TFF kimemshinda kwenye mkataba tukumbuke mwenye Mali ya mkataba ni GSM na TFF

barnabas masoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2016
Posts
1,298
Reaction score
659
Wakati wapenzi wa soka tukihema kwa kuzani tumepata nafuu,mala ghafla ndoto inazimika na kubaki hiatoria. Tuna mengi ya kujifunza hapa kuliko kubaki tumehamaki tu,na tunabaki na maswali na kwa mujibu wa tangazo LA tff kuwa jambo hili halitakiwi kuhojiwa pesa ndefu imeondoka je ni kwa maslahi ya nani hasa.

Je mpka GSM anaita waandishi hakukutana na mwenza wake TFF

Je walishindwa kupata muafaka wa jambo hili

Ni kipi TFF kimemshinda kwenye mkataba tukumbuke mwenye Mali ya mkataba ni GSM na TFF

Kweli simba ndio chanzo cha yote

Kwa nn GSM hakutoa hata senti kwenye mkataba uliodumu kwa miezi mitatu

Nani kapata faida nani kapata hasara na snaehitajika kumlipa mwezi wake

Je kulikuwa na madudu gani mengine zaidiya haya

Kwa nini wahusika hawakutakiwa jua kilichomo kwenye mkataba

Maoni yangu binafsi
Bado muda upo kufanya jambo,mamlaka husika zitoke usingizini kwa maslahi makubwa ya mpira wetu,zijalibu kuwaita hawa wahusika na kuweka mambo mezani.

Kwani kuna athari kubwa kuliko faida kwenye hili na ikiwezekana mikataba ya TFF ipitiwe yote kubaini madudu yanayojitokeza kwa sasa,spid ya kukua mpira wetu ilikuwa nzuri sasa tusikubali kuludi tulikotoka.

Kalia inabidi atoke sasa na madai ya simba yanapata mantiki hapa sheria zetu za mpira ziendeahwe kwa kuangalia kipindi tulichopo maendeleo ya mpira kwetu bado sana watu kama GSM tunawaitaji katika uwazi unaokubalika nakumbuka yanga na uzamini wa azam nini kilitokea mpka mambo yakaenda sawa.

Waziri husika nazani upo jikoni utakuja na mapishi mazuri ambayo kwetu itakuwa dawa,tupate muarobain wa tatizo LA uongozi mikataba uwazi na uwajibikaji kwenye mikataba ya TFF inatakiwa kuangaliwa upya.

Tusifurahie hili kama tunautakia mema mpira wetu wa miguu Tanzania.

Burners
 
Wakati wapenzi wa soka tukihema kwa kuzani tumepata nafuu,mala ghafla ndoto inazimika na kubaki hiatoria. Tuna mengi ya kujifunza hapa kuliko kubaki tumehamaki tu,na tunabaki na maswali na kwa mujibu wa tangazo LA tff kuwa jambo hili halitakiwi kuhojiwa pesa ndefu imeondoka je ni kwa maslahi ya nani hasa.

Je mpka GSM anaita waandishi hakukutana na mwenza wake TFF

Je walishindwa kupata muafaka wa jambo hili

Ni kipi TFF kimemshinda kwenye mkataba tukumbuke mwenye Mali ya mkataba ni GSM na TFF

Kweli simba ndio chanzo cha yote

Kwa nn GSM hakutoa hata senti kwenye mkataba uliodumu kwa miezi mitatu

Nani kapata faida nani kapata hasara na snaehitajika kumlipa mwezi wake

Je kulikuwa na madudu gani mengine zaidiya haya

Kwa nini wahusika hawakutakiwa jua kilichomo kwenye mkataba

Maoni yangu binafsi
Bado muda upo kufanya jambo,mamlaka husika zitoke usingizini kwa maslahi makubwa ya mpira wetu,zijalibu kuwaita hawa wahusika na kuweka mambo mezani.

Kwani kuna athari kubwa kuliko faida kwenye hili na ikiwezekana mikataba ya TFF ipitiwe yote kubaini madudu yanayojitokeza kwa sasa,spid ya kukua mpira wetu ilikuwa nzuri sasa tusikubali kuludi tulikotoka.

Kalia inabidi atoke sasa na madai ya simba yanapata mantiki hapa sheria zetu za mpira ziendeahwe kwa kuangalia kipindi tulichopo maendeleo ya mpira kwetu bado sana watu kama GSM tunawaitaji katika uwazi unaokubalika nakumbuka yanga na uzamini wa azam nini kilitokea mpka mambo yakaenda sawa.

Waziri husika nazani upo jikoni utakuja na mapishi mazuri ambayo kwetu itakuwa dawa,tupate muarobain wa tatizo LA uongozi mikataba uwazi na uwajibikaji kwenye mikataba ya TFF inatakiwa kuangaliwa upya.

Tusifurahie hili kama tunautakia mema mpira wetu wa miguu Tanzania.

Burners
[https://res]

MWENYEKITI wa Bodi ya Ligi Kuu Bara, Steven Mnguto, ameibuka na kusema licha ya wadhamini wenza Kampuni ya GSM kutangaza kujiondoa katika udhamini lakini hakuna klabu yoyote iliyolipwa.


Kauli hiyo imekuja ikiwa ni siku moja tangu GSM watangaze kujiondoa kudhamini klabu za ligi ambazo awali waliingia mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh 2.1Bil.


Akizungumza na Championi Jumatano, Mnguto alisema kuwa, hilo suala wamepanga kulizungumza hivi karibuni
mara baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) watakapokutana.


Mnguto alisema kuwa, wanasubiria wanasheria wao walipitie suala hilo na mwisho wa siku watalitolea ufafanuzi
kwa undani.


“Kiukweli tangu tuliposaini mkataba na GSM nikiri klabu hazijapata chochote. Klabu zimeitangaza GSM kwa muda wa miezi mitatu sasa, kwa hiyo tunasubiri wanasheria walipitie suala hilo tujue tunafanyaje.

“Hata suala la zile nembo kwenye mabega sijui kama zinaweza kutolewa haraka lakini hata hilo litafanyiwa
kazi kisheria,” alisema Mnguto.

Naye Mkurugenzi wa Habari na Masoko wa TFF, Boniface Wambura, akizungumzia hilo alisema: “Sisi
baada ya kupata barua kutoka GSM, suala la mkataba ni Bodi ya Ligi na ni vema akatafutwa Mnguto lakini
kwa upande wa sisi TFF hatuwezi kuzungumzia kila jambo.


“Tayari tumetoa tamko letu jana (juzi) kuhusiana na hilo baada ya kupata barua GSM.” Juzi TFF ilitoa taarifa
kuwa, Februari 7, mwaka huu walipokea barua ya kuvunja mkataba wa udhamini mwenza wa Ligi Kuu Bara
ya NBC kutoka Kampuni ya GSM, hivyo Shirikisho hilo linafanyia kazi barua hiyo na litatoa taarifa kwa wadau.
 
Back
Top Bottom