Ni kisa gani ulijifunza/ kuaminishwa shuleni/chuoni na ukaja kufahamu badae kwamba sio kweli?

Ni kisa gani ulijifunza/ kuaminishwa shuleni/chuoni na ukaja kufahamu badae kwamba sio kweli?

Chivundu

Platinum Member
Joined
Dec 17, 2012
Posts
7,781
Reaction score
6,966
Katika michakato yetu ya kitaaluma kuna vitu huwa tunafundishwa au kuaminishwa ila badae tukitoka katika viunga baada ya muda mwingi kupita tunakuja kugundua sio kweli au haviwezekani au ilikuwa ni "fiksi" tuu.

Kwamba tunatumia Ajebra kila siku katika maisha yetu ilikuwa fiksi.

Kwamba tutatumia vile tunavyovisoma katika maisha yetu ya kila siku!

Kwamba tusome sana tupate degree tutafanikiwa katika maisha yetu!

Kwamba huwezi kuwa na kikokotozi kila sehemu hivyo tutumia kichwa kufanya hesabu!

Weka na wewe kisa chako!
 
niliaminishwa totoz ni kibao ,

nagegeda mpaka nichoke mwenyewe hata kama ni domo zege
Hapa hata na mimi nilipigwa, mwisho wa siku nilimgegeda first year mmoja tena show time tu kwa gharama ya ¾ ya boom la kwanza. Pumbaf kabisa [emoji1787]
 
Uhasibu ..kuaminishwa kwamba huwezi kupika hesabu zikakaguliwa na bodi konki na TRA na bado zikawa sawa.....
Mpango fichishi i.e namna ya kuficha na kutengeneza unaanza mwanzo wa mwaka
 
Hapa hata na mimi nilipigwa, mwisho wa siku nilimgegeda first year mmoja tena show time tu kwa gharama ya ¾ ya boom la kwanza. Pumbaf kabisa [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tulisomea chini ya mti wa mwembe tuliambiwa tu shule siyo pesa
 
Back
Top Bottom