EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
ndio nmekuja kupata msaada kwa ma great thinkers ambao ndio ninyi. Nataka nijue ili namimi nikakisomeIle heshima ya JF kuitwa "Home of Great Thinker" inazidi kupotea kila siku, hili ni swali gani sasa? majibu yake yanakusaidia nini?
KwaniniHivi watu huwa mnawaza nini lakini..
Ngoswe kipo hadi ulaya kumbeNgoswe
Ngumu kujua kitabu gani kinachosomwa zaidi, hizi ni data za vitabu vilivyouzwa zaidi.Habari za leo marafiki.
Nimekutana na hili swali mahali; kwamba ni kitabu gani kinachosomwa zaidi kuliko vyote duniani na thamani ya ujumbe wake haijawai kushuka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Three suitors one husband
Ni kile chenye Title isemayo..How Tanzania can teach you to rig election...ambacho pia kimeandikwa nae Mtunzi John Mkemia kutoka huko Geita.Habari za leo marafiki.
Nimekutana na hili swali mahali; kwamba ni kitabu gani kinachosomwa zaidi kuliko vyote duniani na thamani ya ujumbe wake haijawai kushuka?