Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We mwache tu[emoji28]
Ohoo[emoji134][emoji3]Time will tell u everything mama[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ww ni pacha wangu kabisaa.....mama zetu wanapenda kutuchimba kweli ili mradi amshe hisia zako tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama mwenyewe alishanishindwa kunitoa nje Kama sitaki kutoka.
Nitatoka pale nitakapotaka Mimi.
Na uzuri nilipofika tu nikamwambia bi mkubwa mapema plan zangu,inayoanza hadi ya mwisho..ndoa iko mwisho kabisa na hapa bi mkubwa anafanya mpango plan zangu za mwanzo zitimie maana nishamwambia bila kutimiza hizo nyumbani kwako sitoki ng'oo.
Halafu juzi amekuja ananiambia "Anne yule rafiki yako mlisoma naye primary anaolewa,mama Yake amenipigia[emoji1787]"nikamjibu tu hongera zake.
Fursa ya kitu gani?Mimi ni kaka mtu na nina mpango wa kuanza kumtumikia Mungu kama dada yangu mpendwaFursa[emoji28][emoji28]
Yesu wangu Mimi [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa mlokole halafu uko vizuri kwa bed mwanaume wako lazima ainjoi..[emoji28][emoji28]lkni ukiwa mlokole halafu kwa bed miyeyusho...[emoji28][emoji28]ngoja nicheke tu
Muda mwingi nilikuwa sipo na nilikuwa sijawahi kuishi huku ndiyo maana.Sio kitu kizuri pia
Ila kwa akili zangu nadhani alikuwa ananipa tu taarifa maana huyo mwali alikuwa rafiki yangu sana enzi hizo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ww ni pacha wangu kabisaa.....mama zetu wanapenda kutuchimba kweli ili mradi amshe hisia zako tu
Jana hujanijibu Swali langu.Fursa ya kitu gani?Mimi ni kaka mtu na nina mpango wa kuanza kumtumikia Mungu kama dada yangu mpendwa
Na hivyo ulivyo ukikaa bila nguo hakuna man anaweza kuacha kuku👀Sipendi kuvaa nguo ya Aina yoyote ile..si ya ndani Wala ya nje.
Sipendi kutembea Basi tu sina namna.
Sipendi kupewa pesa na mpendhi wangu Basi tu ananilazimisha kuzipokea😎
Hivi si ni wewe jana ulisema hupendi kuokoka😅😅🙆♀️🙆♀️Jehovah.. Saint Anne njooFursa ya kitu gani?Mimi ni kaka mtu na nina mpango wa kuanza kumtumikia Mungu kama dada yangu mpendwa
😂😂😂😂 nitakudundaNa hivyo ulivyo ukikaa bila nguo hakuna man anaweza kuacha kuku👀