Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Usiogope taratibu tu utazoea mama, hata mie nilikuwaga super weak but now mie ni moto wa makaa[emoji41]! Najua tu tutafanyaje ili ku keep maongezi alive
Mimi ni Moto kwa mtu niiyemzoea
Watu nilioorodhesha pale juu pekeyao nadhani ndio wanaojua namna naongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…