Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,591
Haiwezekan mkuu kwa hiliHabari wakuu,
Naombeni ushauri wenu. Ni kitu gani ambacho naweza tumia kufanya nisitoke jasho kwapani.
Jasho linanifanya nakuwa uncomfortable kiasi kwamba nashindwa kuvaa baadhi ya nguo maana nikianza tu safari, ndani ya dk kumi kwapa linaanza kuloa.
Japo na admit, jasho langu halina harufu na deodorant ninayoumia ni nivea.
Mwenye msaada wa kufanya kwapa lisitoe jasho kabisa.
Natangulisha shukrani.
Asante. Nitaijaribu.Yes nina kama miaka 2 natumia,inatoa weusi,ila pia zingatia usafi na ikiwezekana kwa matokeo ya haraka uwe unafanya waxing kwapani.
Picha yake kama ipo mkuu, wahanga tupo wengi.Toa nywele na wax ..sugua na ndimu..kaa for dk 10-15 osha kwapa lako..au tumia deodorant ya FA ni nzuri mno au hata secret ila ina bei ...
Umewahi kutumia mkuuHata hiyo deodorant ya niver ipo inayokufanya usitoke jasho la kwapa imeandikwa nivea anti perspirant dry confidence plus
Imewahi kukusaidia mkuuNyoa vizuri, OSHA kwa maji moto alafu kausha then paka limao
Antiperspirant ziko brand nyingi sana cha muhimu hakikisha kuwa ni original,usidanganyike na bei,ziko za bei kubwa lakini bado hazikai muda mrefu unakuta ndani ya masaa 6 harufu ya kwapa inatokea.Hata hiyo deodorant ya niver ipo inayokufanya usitoke jasho la kwapa imeandikwa nivea anti perspirant dry confidence plus
Stick deodorants, hii ndio ipoje mkuu. Sana sana msaada wa kuzuia jasho sio harufu.Antiperspirant ziko brand nyingi sana cha muhimu hakikisha kuwa ni original,usidanganyike na bei,ziko za bei kubwa lakini bado hazikai muda mrefu unakuta ndani ya masaa 6 harufu ya kwapa inatokea.Ushauri wangu ni kuwa anza na stick deodorants halafu harufu ikishapotea taratibu utaanza kutumia antiperspirants za kawaida ambazo sio stick....
Umenikwot wrongAntiperspirant ziko brand nyingi sana cha muhimu hakikisha kuwa ni original,usidanganyike na bei,ziko za bei kubwa lakini bado hazikai muda mrefu unakuta ndani ya masaa 6 harufu ya kwapa inatokea.Ushauri wangu ni kuwa anza na stick deodorants halafu harufu ikishapotea taratibu utaanza kutumia antiperspirants za kawaida ambazo sio stick....
Tafuta na kitu kinachoweza kukusaidia usiwe unakunya.Habari wakuu,
Naombeni ushauri wenu. Ni kitu gani ambacho naweza tumia kufanya nisitoke jasho kwapani.
Jasho linanifanya nakuwa uncomfortable kiasi kwamba nashindwa kuvaa baadhi ya nguo maana nikianza tu safari, ndani ya dk kumi kwapa linaanza kuloa.
Japo na admit, jasho langu halina harufu na deodorant ninayoumia ni nivea.
Mwenye msaada wa kufanya kwapa lisitoe jasho kabisa.
Natangulisha shukrani.
Hizi zitakuwa tiba asiliMaji ya ugali yaliyolala
Nawa kila asubuhi kwa siku 5
Kisha niretee mrejesho