[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu uenda tunapiga story na wadogo zetu maana Mimi mpaka namaliza Olevel smartphone azikuepo.
Mi nakumbuka usafiri wa magari ya magazeti Dar to Arusha hiyo dah sometimes najiuliza wazazi wangu kwanini mlipenda sana kunipakia kwenye magari ya magazeti maana mwendo ule ni zaidi fighter jets.
Walitaka kukuwahisha akheraHumu uenda tunapiga story na wadogo zetu maana Mimi mpaka namaliza Olevel smartphone azikuepo.
Mi nakumbuka usafiri wa magari ya magazeti Dar to Arusha hiyo dah sometimes najiuliza wazazi wangu kwanini mlipenda sana kunipakia kwenye magari ya magazeti maana mwendo ule ni zaidi fighter jets.
Ndio... lakini huyo ni neither....nor...Kuna wanaume na wavulana ee
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji124] [emoji124] [emoji124]