NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

ha ha ha ha ha!
nimecheka mpaka nimelia!najiuliza huwa unamfuata kwa nyuma nyuma mkiwa baa?hadi vyoo vya kiume?😀


we cheka tu kazi kweli ...luckily hatulewi sote kwa hivyo baa hatuna kazi nazo hata kama ni club ni soda tu..hamna mambo ya trips za urinals.....lakini am telling u hawezi kabisa!!!!!!! labda kiyama kishuke LOL
 


Kweli wanatofautiana sana, mi mpenzi wangu anaomba mpaka kuna wakati naogopa kupokea simu yanahisi ataniomba twende tuka-do!!
 
Kweli wanatofautiana sana, mi mpenzi wangu anaomba mpaka kuna wakati naogopa kupokea simu yanahisi ataniomba twende tuka-do!!
eeh!nikimpata kama huyu nadhani nitakufa mapema!maana mimi ni mlevi wa hii kitu
 
Kweli wanatofautiana sana, mi mpenzi wangu anaomba mpaka kuna wakati naogopa kupokea simu yanahisi ataniomba twende tuka-do!!

eeh!nikimpata kama huyu nadhani nitakufa mapema!maana mimi ni mlevi wa hii kitu


sasa basi si mbadilishane tu...mambo yawe nyweeeeeeeeeeeeeeeeee!!🙄
 
sasa basi si mbadilishane tu...mambo yawe nyweeeeeeeeeeeeeeeeee!!🙄
ha ha ha ha!
when it comes to ''DADAAKE X-PIN'' huwa sihitaji mizaha
 
at least we know you are alive hata kama unamakovu (sorry Goeff off topic)

Hata mi nahitaji muda nitafakuri hili loh!!! zito!!

Hahaha! Mambo niliyaweka sawa. Hujaiona intro ya leo? Nilikuahidi ntakueleza kitakachotokea, na nimefanya. (Sore off topic) Hii thread leo mpwa kakamata watu sehemu ya kuendea haja ndogo. Wote wamesepa! LOL!
 
Hatujasepa ila tunatafakari, na kwenye kutafakari hakuna deadline, tunaweza kucomment January 2010
 
Hapa mtu mzima ngoja nile kona nisije nikachafua hali ya hewa.
 
Hatujasepa ila tunatafakari, na kwenye kutafakari hakuna deadline, tunaweza kucomment January 2010
nimekupa senksi mam'aa!
najuta ni kwanini nimelifikiria hili!
nawasiliana na mods tuifunge hii post!naona watu wamepoteza moods
 
Hahaha! Mambo niliyaweka sawa. Hujaiona intro ya leo? Nilikuahidi ntakueleza kitakachotokea, na nimefanya. (Sore off topic) Hii thread leo mpwa kakamata watu sehemu ya kuendea haja ndogo. Wote wamesepa! LOL!

Iribini hujanieleza please am dying of qriositi.....and tafadhali ambia Goeff asifute hii tread kwa heshima yako....
 
kama nguli ndo amesepa kabisa.

ZD kachungulia kapotea. Nyamayao, MJ1, nguli, triplets wote wanapita pembeni kama hawaoni! Wapwa kaizer, Sipo, G_Porgie, Burn nk leo utafikiri wameenda likizo. Bwashee leo kakamata watu sehemu za siri. LOL! Hahaha!
 
nimekupa senksi mam'aa!
najuta ni kwanini nimelifikiria hili!
nawasiliana na mods tuifunge hii post!naona watu wamepoteza moods

piliz iache ache kwanza......we are almost there
 
Iribini hujanieleza please am dying of qriositi.....and tafadhali ambia Goeff asifute hii tread kwa heshima yako....

Nenda kule kaangalie uone na FL1 alivokosakosa kipondo baada yakutambulisha sijui buzi kwa hubby wake jana! Hahaha! Bwashee hawezi futa hii thread mpaka kieleweke. Unajua hii mada imeenda shule, watu bado wanatafakari. Ni kama homework flani hivi!
 
ZD kachungulia kapotea. Nyamayao, MJ1, nguli, triplets wote wanapita pembeni kama hawaoni! Wapwa kaizer, Sipo, G_Porgie, Burn nk leo utafikiri wameenda likizo. Bwashee leo kakamata watu sehemu za siri. LOL! Hahaha!

hata serengeti boy compressor leo si tishio kwako tena
 
ZD kachungulia kapotea. Nyamayao, MJ1, nguli, triplets wote wanapita pembeni kama hawaoni! Wapwa kaizer, Sipo, G_Porgie, Burn nk leo utafikiri wameenda likizo. Bwashee leo kakamata watu sehemu za siri. LOL! Hahaha!
mpwaaaaaa!
mnisamehe bure wakuu!nimecheka hadi nimelia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…