Ni kitu gani kinakufanya ujue “Restaurant” bei yake sio za kitoto

Ni kitu gani kinakufanya ujue “Restaurant” bei yake sio za kitoto

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea 😂

Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.

Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
 
Ukiletewa Maji ya kunawa kwenye Bakuli ya Kupasuka🤣🤣🤣🤣 ruuunnnnn. Kimbia na usigeuke nyuma
Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea 😂

Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.

Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea 😂

Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.

Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
 
Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea [emoji23]

Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.

Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
Ukifika restaurant ukasikia mziki lakini huoni speaker wala DJ jua bill ya hapo siyo rafiki kwako.
 
Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea 😂

Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.

Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
Ni muhimu kuuliza bei kabla hujaagiza kitu
 
Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea 😂

Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.

Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
Huko ndani kunanukia
 
IMG_20240817_073709.jpeg
 
Back
Top Bottom