Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea 😂
Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.
Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.
Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??