Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Mziki wa taratibu unaskia tu sauti huoni speaker zipo wapiMuziki wa taratibu, hakuna kelele
Ukiskia vinanda tu zile symphony ujue umeisha... Kula Shishi food au home ukishiba nenda Sea cliff agiza iced tea au kahawa yako taaratibuu πππMuziki wa taratibu, hakuna kelele
Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea π
Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.
Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea π
Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.
Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
Ukifika restaurant ukasikia mziki lakini huoni speaker wala DJ jua bill ya hapo siyo rafiki kwako.Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea [emoji23]
Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.
Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
Ni muhimu kuuliza bei kabla hujaagiza kituKuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea π
Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.
Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
ππππMuziki wa taratibu, hakuna kelele
ππππ halaf watu wote wapo smartπππZile unakuta watu wametulia kama wapo maktaba vile
Sa Si Ndioo...!!'π π πππππ halaf watu wote wapo smartπππ
Huko ndani kunanukiaKuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea π
Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.
Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??