Ni kitu gani kinapaswa kufanyika unapokosa uhamisho wa ugonjwa?

Ni kitu gani kinapaswa kufanyika unapokosa uhamisho wa ugonjwa?

MwanawaMUNGU41

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,036
Reaction score
737
Mimi ni mwalimu ninayesumbuliwa na ugonjwa wa moyo,nafanya kazi mikoani lkn nimepewa referal ya kutibiwa Hospitali ya Taifa,kutokana na ushauri wa daktari kwamba ninapaswa kuwa nahudhuria kila baada ya mwezi mmoja,kutokana na kuanguka pamoja na kupoteza fahamu mara kwa mara nimekuwa nikishindwa kurudi kazini au kuhudhuria kazini,niliomba uhamisho nikaambiwa umesitishwa hali yangu siyo nzr tangu mwaka jana mwezi wa 11 sijarudi kazini,nifanyeje nipate uhamisho? Msaada tafafhali make naiona hatari ya kuachishwa kazi make nashindwa hata kwenda kuhudhuria,uzi huu wenyewe namuelekeza mdogo wangu ndo anaandika!niliandika barua ya kumba uhamisho kusogea karibu na hospitali pamoja na familia nimejibiwa uhamisho kwamba umesitishwa,nisaidieni nawaomba sijui la kufanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom