Ni kitu gani kinauuzwa sana kwenye jamii yako?

Ukosefu wa ajira kwa vijana. Hii kwa nchi nzima.

Na pili, bodaboda na bajaji uvunjaji wa sheria za barabarani.

Na mwisho, ongezeko la bei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…