Ni kitu gani kingine huwa unakifanya bafuni ukiachana na kuoga

Ni kitu gani kingine huwa unakifanya bafuni ukiachana na kuoga

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Binafsi na ukubwa wangu huu, nimeoa na nina familia, naishi vizuri tu na jamii ila kuna katabia ka ajabu sana ninako na ni siri yangu tu hakuna anaejua.

Niingiapo bafuni huwa nageuka kama mtoto, Napenda sana kucheza mziki, ntaruka ruka, nitacheza kiduku, nitacheza bolingo, n.k

Nilikuwa dancer mzuri tu sekondari, basi tangu kile kipindi hii tabia imeniganda
 
Umeoa halafu unajiogesha mwenyewe, matumizi mabaya ya ndoa.

Kuoa ni kurudi utoto, utalishwa utaogeshwa na utanyonyeshwa!

Nasema uongo ndugu zangu!!!
 
Ukiwa bafuni kuna kale kamkojo flani hivi ukikojoa wakati umeshaanza kuoga, Aisee siachi hiyo tabia!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Binafsi na ukubwa wangu huu, nimeoa na nina familia, naishi vizuri tu na jamii ila kuna katabia ka ajabu sana ninako na ni siri yangu tu hakuna anaejua.

Niingiapo bafuni huwa nageuka kama mtoto, Napenda sana kucheza mziki, ntaruka ruka, nitacheza kiduku, nitacheza bolingo, n.k

Nilikuwa dancer mzuri tu sekondari, basi tangu kile kipindi hii tabia imeniganda
mi huwa najiimbisha
 
Ijui ndio weekend inaanza au sikukuu zinaanza, hizi sredi za disemba zinachekesha
 
Ni kakichaa kanakuanza mkuu siku moja unaweza kutoka bafuni ukacheza ukumbini
Binafsi na ukubwa wangu huu, nimeoa na nina familia, naishi vizuri tu na jamii ila kuna katabia ka ajabu sana ninako na ni siri yangu tu hakuna anaejua.

Niingiapo bafuni huwa nageuka kama mtoto, Napenda sana kucheza mziki, ntaruka ruka, nitacheza kiduku, nitacheza bolingo, n.k

Nilikuwa dancer mzuri tu sekondari, basi tangu kile kipindi hii tabia imeniganda
 
Mara nying nikiingia bafun, huwa navaa ndala mkononi alafu napiga zangu push up kwenye mia hivi ndo naanza kuoga. Hakika huwa naingia na cm ya mzk mkubwa ili wasijue nachofanya😂😂😂😂 na cjawahi kuchemsha maji ya kuoga mpk nimefika hapa😄😄😄 cjui ntakujaga kuacha jamani😆😆😆😆😆
 
kunyoa nywele za sehemu za siri,kusugua gaga,kusafisha dushe,kusafisha kucha za vidoleni,kuosha nywele zenye dawa
 
Back
Top Bottom