Ni kitu gani ulikisoma shuleni lakini hakijakusaidia kitu hadi leo?

Ni kitu gani ulikisoma shuleni lakini hakijakusaidia kitu hadi leo?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Binafsi, elimu yote kwa ujumla hakuna ilichonisaidia katika maisha. Mara mia hata ningeishia darasa la saba. Pmbv sana elimu ya Bongo

Nina knowledge kubwa ya Electrostatic, Current na Electronics. Hadi calculations zake nasolve kama mbwa mwitu. Ni miaka sasa imepita lakini siwezi kusahau, hata uniamshe usingizini

Cha kusikitisha, hata kupachika bulb kwenye holder yake siwezi. Kuunganisha kisoma umeme, walau hata kukibondelea kwenye ukuta siwezi. Nazidiwa na kijana wa VETA

Bora hata ningeenda Gereji kipindi hicho kuliko Advance. Pmbv sana elimu ya Bongo

Wapi Logarithim za Sir Msoke Mkatili ?
 
stori ya mzee lomolomo kwenye riwaya ya watoto wa mama ntilie imenifundisha kwamba ulevi ni mbaya
 
Hesabu za EMPTY SET
Afadhari na hizi. Zinatuonesha ni kwa jinsi gani wabongo vichwa vyetu viko empty ilihali watu wenye nyazifa zao wanatwanga pesa za wanyonge huku nafasi za kazi wakitupiana wao kwa wao kama mipira. Wengine tutabaki kulia tu daima kuwa pesa hakuna, kazi hakuna... hadi tufe kibudu
 
Afadhari na hizi. Zinatuonesha ni kwa jinsi gani wabongo vichwa vyetu viko empty ilihali watu wenye nyazifa zao wanatwanga pesa za wanyonge huku nafasi za kazi wakitupiana wao kwa wao kama mipira. Wengine tutabaki kulia tu daima kuwa pesa hakuna, kazi hakuna... hadi tufe kibudu
Na huu ni mfumo wa kipuuzi sana....
Aliye juu, haangalii walio chini yake 😢😢
 
Imenisaidia sana logarithms zimetumika katika mfumo wa simu, calculas imetumika sana katika mambo ya umeme, pythogras inatumika sana kwenye ujenzi. Elimu Iko vizuri ila mpaka ufikie hiyo level ndio utaelewa
 
Back
Top Bottom