Elections 2010 Ni kitu gani ungependa kuona kinapewa kiapumbele 2010-2015?

Elections 2010 Ni kitu gani ungependa kuona kinapewa kiapumbele 2010-2015?

Chapakazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2009
Posts
2,874
Reaction score
316
Huu kama mwaka wa uchaguzi ningependa kupata maoni yako juu ya kitu kimoja ambacho ungependa serikali ya awamu ya tano ikipe kipaumbele. Jaribu kuwaza kama umepata nafasi ya kukaa na Wagombea Urais na kuwapa dokodoko zako. Ni kitu gani cha kwanza utawaomba wafanye? Na sio kwa jimbo lako, bali kwa manufaa ya Tanzania nzima. Au niigeuze kivingine, kama wewe unapewa nafasi ya kuwa rais wa awamu ya tano, je ni kitu gani KIMOJA ungependa kukumbukwa kwa kufanya? Ningependa kupata maoni yenu kwa kusudi la kujua muelekeo na matumaini yetu. Niwie radhi, maana hii inaangalia serikali in a very narrow perspective.

Mimi binafsi ningesema viwanda. Ningependa tuwe industrial powerhouse hapa East and Central Africa, hasa ukizingatia huu muungano na muelekeo wake. Hivyo ni muhimu awamu ya tano iweke msingi mzuri wa kuwezesha hili. Wewe je?
 
Macro-economic stability which has been lost. Inflation! Corruption Infrastructure and Financial Services reforms, legal reforms..
 
Macro-economic stability which has been lost. Inflation! Corruption Infrastructure and Financial Services reforms, legal reforms..

Good...shukran mkuu! Ungesema Inflation as the number one thing?
 
Mi ningependa nikumbukwe kama Mtanzania aliyekataa kuwa Raisi wa nchi
 
Ningependa mtu mzima Edo awe raisi ili alipize kisasi.
 
:dance:Ningependa Uongozi wa CCM usiwepo madarakani wawepo watu tofauti wenye uchungu na nchi hii,...Ningependa viwanda vyote vilivyokufa vifufuliwe ,vijana wapate ajira ,uchumi wa nchi ustawi.
Ndoto za alinacha
 
RUSHWA IKOMESHWE.huwezi kupata maendeleo na CORRUPT GOVERNMENT/SOCIETY.......
 
Ningependa kama hiki chama tawala chenu kikirudi madarakani basi kiendelee kuharibu ili wananchi ambao hawajauona ubovu na uozo uliomo chamani basi wafumbuliwe macho na mioyo yao ili wakichukie na twenty fifteen wakipige chini. Pia kama watarudi madarakani ningependa ufisadi uzidi, rushwa iwe juu, umasikini uongezeke na gap kati ya wenye nacho na wasonacho iwe kubwa, mishahara ya wanasiasa na posho ziongezeke, na mishahara ya wafanya kazi ibaki pale pale au ipungue na mfumko wa bei upae kama Zimbabwe, sera ya kilimo kwanza iendelee ili wasolima wazidi kufaidi kwa semina na Nights. GNP na GDP virudi nyuma ila tusiwe na mapigano. Hii yote itasaidia wananchi walofumba macho na masikio waweze kuona uozo wa chama cha mafisahi HENCE come twenty fifteen wakipige chini kama KANU ya Kenya!
 
Kuifuta CCM katika anga za siasa za nchi yetu maana wao ndiyo chanzo cha matatizo mengi ya Tanzania.
 
washkaji...this is not a wish list ya kukiondoa CCM! Wewe ungekuwa rais (hata kupitia CCM), je ungekipa kitu gani kipaumbele? Mkulu amezipa safari kipaumbele, je wewe? Labda kweli hizo safari tutaona matunda yake maana sasa ivi tuna mkonga...au sio?
 
Back
Top Bottom