Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

eldamaty_persier

Senior Member
Joined
Mar 18, 2024
Posts
118
Reaction score
285
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k! Wadau ni kitu au jambo gani hilo huwezi kufanya au kumiliki?
 
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda,kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k! Wadau ni kitu au jambo gani hilo huwezi kufanya au kumiliki?
Kupenda hizo timu simba na yanga zitolewe mapema, ili kelele ziishe maofisini na vijueni tupate utulivu.
 
Vingi....

Mojawapo ni zile salamu za kupeana hugs na marafiki
Rafiki zangu naona kwao ni kawaida ku-hug na mtu yoyote lakini mie ni ngumu mno na wananishangaa kama mie navyowashangaa yani wanawezaje?
 
Back
Top Bottom