Mkuu mimi napenda sana mwanamke mwenye vijimaneno vya ajabu ajabu hivi, infakti vinaniturn on kabisa, mimi waifu akinambia "utajijuuu" basi naomba gemu mida hiyo hiyo. sjui niko normal???
<br />nikuombe tu ucjipe imani sana kwenye moyo wa mwenzio, we kaa 50-50......(usiusemee moyo wa mwenzio)...lolote laweza kutokea.....hata mie nilidhanigi" hataweza"...kwamapenzi tuliyokuwa nayo, kilitokea kmfarakano kdgo kila kitu kikawezekana....na cjui cri ya mafanikio mpaka nikamsamehe but nimekuta tu nimesamehe....nadhani linapotokea ndio unajua jinc ya kukabiliana nalo...kwasasa relax mae!
<br />
<br />
Khaaa usiniambia Slaa ni kiwango cha kujipimia.....haya bana!
Klorokwini ndugu yangu.....si tunasomaga upendo huvumilia? Hauhesabu mabaya?
<br />Kuna kale ka kiapo utamvumilia ,utampenda ,utamtunza sijui na nini tena<br />
Lizzy usinisahau kwa kadi siku utakapotangaza nia maana naona unaelekea ukingoni mwa research yako <br />
<br />
Zaidi ni kuomba mungu akupe mme /mke mwema maana hivi vyote hutoka kwake.
Kuna kale ka kiapo utamvumilia ,utampenda ,utamtunza sijui na nini tena
Lizzy usinisahau kwa kadi siku utakapotangaza nia maana naona unaelekea ukingoni mwa research yako
Zaidi ni kuomba mungu akupe mme /mke mwema maana hivi vyote hutoka kwake.
nikuombe tu ucjipe imani sana kwenye moyo wa mwenzio, we kaa 50-50......(usiusemee moyo wa mwenzio)...lolote laweza kutokea.....hata mie nilidhanigi" hataweza"...kwamapenzi tuliyokuwa nayo, kilitokea kmfarakano kdgo kila kitu kikawezekana....na cjui cri ya mafanikio mpaka nikamsamehe but nimekuta tu nimesamehe....nadhani linapotokea ndio unajua jinc ya kukabiliana nalo...kwasasa relax mae!
<br />sasa kwanini Lizzy hataki kuvumilia?
Ni kosa la jinai kuanika mambo ya PM jamvini...ngoja nimwite P...W!!
Kuna kale ka kiapo utamvumilia ,utampenda ,utamtunza sijui na nini tena
Lizzy usinisahau kwa kadi siku utakapotangaza nia maana naona unaelekea ukingoni mwa research yako
Zaidi ni kuomba mungu akupe mme /mke mwema maana hivi vyote hutoka kwake.
<br />
<br />
Hivi matron, mke/mume mwema (ambaye tunaambiwa anatoka kwa Mungu) ni mkamilifu?
Na mke/mume mbaya na jambazi anatoka kwa nani?
am so close to ur heartbeat, just feel me!Hahhahhahaha...
Uko wapi nikufuate...?!
Niambie nikujue....!
nikuombe tu ucjipe imani sana kwenye moyo wa mwenzio, we kaa 50-50......(usiusemee moyo wa mwenzio)...lolote laweza kutokea.....hata mie nilidhanigi" hataweza"...kwamapenzi tuliyokuwa nayo, kilitokea kmfarakano kdgo kila kitu kikawezekana....na cjui cri ya mafanikio mpaka nikamsamehe but nimekuta tu nimesamehe....nadhani linapotokea ndio unajua jinc ya kukabiliana nalo...kwasasa relax mae!
But cheating out of her own desires POA?!
<br />
<br />
Kaka mkubwa kama mengi yanawakuta na bado mpo basi kunavumilika.....yepi ya kuvumilia? Tunarudi pale pale kuwa inategemea mtu na mtu....
hatuko wakamilifu hilo ni wazi, sasa sijui yepi na na nani atavumilia (hilo linabaki kuwa la binafsi)
teteteteteh..huyu hana hofu na mungu..siku atakapotambua neno na kumrudia mungu hakika atakuwa kimbe kipya .
watu wote wanatoka kwa mungu..lakini ukiomba kwa imani utapata kizuri zaidi.
Na mungu hatakutupa kamwe..
aaaaagh wewe mbona hivi..
But cheating out of her own desires POA?!
BE nakupotezea tu...