Ni kitu umewai fanyiwa Na Mwalimu katika soma yako kilikera , kukuudhi Na kuabika juu?

Ni kitu umewai fanyiwa Na Mwalimu katika soma yako kilikera , kukuudhi Na kuabika juu?

makaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2018
Posts
318
Reaction score
374
Ilikuwa kipindi nipo form six pale mbeya, ivumwe high school inasifika Sana Kwa viboko Ile shule, viboko Mia kawaida. Sasa kipindi hicho form five ndio walikuwa wagen wagen 2017, mara wakaweka debate Kati ya form five hkl &hgk wanashindana Na hgl, ikabidi waje kutafuta mtu wa kuwa chairperson bwana. Na Kwa sababu pale school kweny speech ilikuwa rahisi kunikuta basi moja Kwa moja wakaniomba.....! Na Mimi tayari najua form five wapya basi sikusita Ile ngoja nishow off, alaf kuamkia siku hiyo nilienda kushave ko nikawa Kama nimenyoa afro fulan IV, af nywele ndefu ndefu kidogo.. Ebwan ehh nikahost pale, kumbe ticha wa nidham kaninote Ile nimefunga debate tu kumbe jamaa kaanza kunisaka....mara pa nikaitwa Kwa ofisi ya nidham, jamaa akanihoji pale Na Kwa sababu alikuwa ananitafuta siku nyingi..akanilamba stick, akanyoa nywele Na mkasi, akanikatia trouser ya shule mguu mmoja, akapokonya kiatu kimoja du!!! Muda huo huo ni mapumziko mchana iv ...!! Alaf nikaruhusiwa kuondoka, sasa kutoka ilipo ofisi mpaka classes za six ni lazima upite kuanzia class za form one , two, three, five....ile natoka tu madogo kibao ile ooooh full kushangaa, wanaulizana kuna nini? Wanajibizana yule kaka aliyekuwa chairperson kunyolewa ...!!! Aisee hii siku niliabika sana walai mpaka leo nikiendaga pale school simsalimiagi yule ticha!!!

Basi kwa muktadha huo, unawez share ya kwako!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilikuwa kiranja wa chakula,siku za wali au nyama tulikuwa tunabeba sufuria zima tunapeleka room yetu nikiwa naishi na head boy,sasa siku moja nikababwa na mwalimu mgeni nimemtuma form one apeleke room aisee parade form one akanitaja kuwa huwa namtumaga lol! Niliaibika mbele ya mademu wakali waliokuwa wakiniita tozi

don't invest in a woman
 
Back
Top Bottom