Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,357
- 1,596
Habari zenu wana JF na poleni kwa majukumu
Kutokana na JF kuwa msaada wa maarifa kwangu ndomana nipatapo jambo au kutatizwa na kitu fulani basi bila shaka huwa kimbilio langu.
Wapendwa mimi ni mpenzi sana na ninapenda sana kutumia kitunguu swaumu kila siku nikichanganya na kikombe kimoja cha maziwa.
Huwa natumia hata kete kumi kwa siku hapo ni baada ya kuvikatakata vizuri vipande vidogo naweka kwenye maziwa natumia. Hii ni kwa ajili ya kuimarisha kinga ya mwili.
Tatizo langu ni kuwa nadhani nakosea kiwango ninachotumia. Nina wasiwasi natumia kiasi kikubwa kwa siku na nahofia naweza kupata mafhara hapo baadaye.
Maswali:
Je, kiwango sahihi ni kipi?
Kuna madhara gani kutumia kitunguu swaumu kupita kiasi?
Kitaalamu ni sahihi kutumia kitunguu swaumu kila siku au ni kwa muda fulani tu?
Nitashukuru kwa mchango wako
Kutokana na JF kuwa msaada wa maarifa kwangu ndomana nipatapo jambo au kutatizwa na kitu fulani basi bila shaka huwa kimbilio langu.
Wapendwa mimi ni mpenzi sana na ninapenda sana kutumia kitunguu swaumu kila siku nikichanganya na kikombe kimoja cha maziwa.
Huwa natumia hata kete kumi kwa siku hapo ni baada ya kuvikatakata vizuri vipande vidogo naweka kwenye maziwa natumia. Hii ni kwa ajili ya kuimarisha kinga ya mwili.
Tatizo langu ni kuwa nadhani nakosea kiwango ninachotumia. Nina wasiwasi natumia kiasi kikubwa kwa siku na nahofia naweza kupata mafhara hapo baadaye.
Maswali:
Je, kiwango sahihi ni kipi?
Kuna madhara gani kutumia kitunguu swaumu kupita kiasi?
Kitaalamu ni sahihi kutumia kitunguu swaumu kila siku au ni kwa muda fulani tu?
Nitashukuru kwa mchango wako