MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 707
Waungwana,
Jambo ambalo linasikitisha, kwa nchi ambayo inadai inakusanya kodi, ni kwamba elimu kwa walipakodi ni finyu kiasi kwamba, pale unapotaka kuanzisha biashara mpya, hupati habari za kweli na za uhakika kuhusu kodi ambazo - kama mfanyabiashara - unapaswa kuzilipa.
Tafadhalini, waungwana, naomba mnieleweshe, kwa kampuni ambayo ni Limited Liability (LTD), ni kodi zipi inapaswa kulipwa, kwa viwango gani, na kwa wakati gani?
Asanteni.
./Mwana wa Haki
P.S. Mwenye taarifa tafadhali anitumie PM
Jambo ambalo linasikitisha, kwa nchi ambayo inadai inakusanya kodi, ni kwamba elimu kwa walipakodi ni finyu kiasi kwamba, pale unapotaka kuanzisha biashara mpya, hupati habari za kweli na za uhakika kuhusu kodi ambazo - kama mfanyabiashara - unapaswa kuzilipa.
Tafadhalini, waungwana, naomba mnieleweshe, kwa kampuni ambayo ni Limited Liability (LTD), ni kodi zipi inapaswa kulipwa, kwa viwango gani, na kwa wakati gani?
Asanteni.
./Mwana wa Haki
P.S. Mwenye taarifa tafadhali anitumie PM