Mwanzoni nilifikiri mtu akipewa cheo cha "Urais, Uwaziri, Mwanasheria Mkuu, Jaji, IJP, Mwendesha Mashtaka, na cheo chochote Serikalini au kwenye taasisi za kidini" nilikuwa naamini kuwa mtu huyo anafanya ile kazi kwa mujibu wa haki kwa kutumia elimu yake kwa manufaa ya Taifa.
Kumbe nilikuwa najidanganya tu, vyeo hivyo vinaweza kushikwa na mtu yeyote wakimo, "wezi, majambazi, vyangudoa, mafisadi, walafi wa mali ya umma, wauaji, wenye visasi, wanafiki, waongo, vibaka, madalali, wachawi, na wengine wenye sifa kama hizo" Nimejionea kwa hakika ndani ya Serikali yetu na zingine za kiafrika!
Sina imani nao kabisa watu wanao onyesha waziwazi sifa hizi kama Werema afanyavyo. Hafai kabisa, simtofautishi na Chenge!