Ni kosa gani linakufanya usigombee nafasi ya kisiasa, Urais, Ubunge na Udiwani?

Ni kosa gani linakufanya usigombee nafasi ya kisiasa, Urais, Ubunge na Udiwani?

deo paul555

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2018
Posts
1,405
Reaction score
521
Habari wadau,

Mwaka huu 2020 ni mwaka wa uchaguzi, niliwahi sikia kua kama ulifungwa miezi zaidi ya sita huna sifa ya kugombea jee iwe jinai au madai adhabu hiyo?

Wadau nisaidieni jambo hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom