deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 521
Habari wadau,
Mwaka huu 2020 ni mwaka wa uchaguzi, niliwahi sikia kua kama ulifungwa miezi zaidi ya sita huna sifa ya kugombea jee iwe jinai au madai adhabu hiyo?
Wadau nisaidieni jambo hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka huu 2020 ni mwaka wa uchaguzi, niliwahi sikia kua kama ulifungwa miezi zaidi ya sita huna sifa ya kugombea jee iwe jinai au madai adhabu hiyo?
Wadau nisaidieni jambo hili
Sent using Jamii Forums mobile app