Ni kosa kubwa wakenya kutompa urais Raila Odinga

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Wakenya wengi hawajui kucheza karata za kisiasa.Wakenya wengi wanataka kupenya kuingia Tanzania ila kikwazo kikubwa ni sheria Na Sera mbalimbali za Tanzania kama za ardhi,ajira,uhamiaji nk kuzibadili wakenya wangekuwa Na akili wangempa raila odinga rafiki wa magufuli ambaye kwa kupitia urafiki wao wangeweza ongea kirafiki tu Na Tanzania ikalegeza misimamo in favour of Kenya. Lakini kwa kukomaa Na Kenyatta ni wazi kuwa wakenya wataendelea kuwa Na nafasi finyu sana ya kupenya Na kubadili sheria Na Sera Za Tanzania. Wamepoteza golden opportunity. Kenyatta yuko Na chadema ni rahisi tu kusema Kenyatta katangaza vita Na serikali ya CCM hivyo kustarajiwe mabadiliko yoyote ya maana kati ya Kenya Na Tanzania. Kwa sababu kushughulika Na Kenyatta ni kama kushughulika Na mwakilishi wa tawi la chadema nchini Kenyatta kamanda Uhuru Kenyatta
 
Kiongozi mahiri haihitaji msaada toka kwa dikteta ili kuongoza nchi. Usiwatishe wakenya. Kenyatta ana mbinu naaarifa mengi sana ya kuleta neema Kenya.
 
Sometimes huwa siwaelewi wachangiaji wa JF, nini wanatakia hii nchi ya Tz. 😵
 
Wakenya wako na nchi yao na Tanzania watakuja tuu siyo lazimabwaongozwe na bwana Kitendawili
 
Yaani ndio kabisa unamkosesha Raila kura kwa kauli za kihivi, hiki ni kicheko cha mwaka eti mgombea urais atafute kura kwa ahadi kwamba atatuombea makazi kwa nchi maskini chini yetu......hehehehe!!!
Siku Raila atatamka kitu kama hicho atatukanwa mpaka ausahau urais.

Rais bora ni yule anaboresha maisha ya ndani ya watu wake, na kama lazima watu wake watoke, basi waende kwenye nchi zenye hela ili watume nyumbani kwa ajili ya uwekezaji.

Ndio maana nchi yenu mnaliwa sana, akili zenu hazijawahi badilika tangu Nyerere awajaribishe kwenye hicho kitu aliita ujamaa, mnapenda mambo ya kujidanganya na undugu, eti leo Magufuli akiwa swahiba na kiongozi wa nchi nyingine basi raia wa kule wapo radhi kuja na kuchuma na kunyakua kila wakitakacho. Mchina amewatafuna sana kwa kutumia huo undugu wa kijinga.

Yaani Raila atufanye tuje kuwa omba omba Tanzania kama walvyo ndugu zenu huku....
 
Wakenya wamepoteza opportunity kipindi chote cha utawala wa Magufuli
 
Siyo lazima uandike jombaa, umeandika ujinga mwingi sana kwa siku moja.
 
Yanawashinda ya kwenu mnakimbilia ya kwa jirani yenu
Chadema yamewashinda Tanzania wamekimbilia Kenya wakiongozwa Na Lowasa kwenda Ku steam out frustration za kushindwa Tanzania
 
Chadema yamewashinda Tanzania wamekimbilia Kenya wakiongozwa Na Lowasa kwenda Ku steam out frustration za kushindwa Tanzania
Povuuuu of the century,wapi nimeandika chadema na uccm????[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tunajua hamtaki kuambiwa ukweli nyinyi. And i will keep saying "yamewashinda ya kwenu mnakimbilia ya kwa majirani zenu." tena ninaongezea shame on you witches[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] povu ruksa
 
Mkuu ungejua jinsi wakenya walivyojaa Tanzania,wanapiga biashara zao km kawaida na wengine wameajiria katika makampuni mengi na sekta binafsi,wanapiga hela balaa,na ardhi wanamiliki na kujenga wamejenga.kuna shule moja ya secondari mjini Arusha ya binafsi na mmiliki ni mtanzania tena mchaga,ina walimu wakenya na waganda zaidi ya 17,watanzania hawazidi 12,na wakenya wanalipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko wabongo japo wote wana viwango sawa vya elimu (bachelor).., wengi wanaamini kielimu Kenya na Uganda wapo juu zaidi yetu ndo maana wanaleta walimu kutoka huko na kuwalipa ghali.na kiukweli jamaa wanapiga kazi kweli kweli,wapo serious na kazi,wabongo perere mingi lkn hakuna kitu.tunafanya kazi Kwa mazoea
 
Kumbe ulitaka Wakenya wampe Odinga ambaye ni tawia CCM Kenya? Wakenya siyo wajinga
 
Immigration Na wizara ya kazi na ardhi wamekusikia .watafanya msako wa hali ya juu shule zote Na maeneo ya ajira
 
Raila angewaongoza vizuri sana kama Magufuli.... Wakenya watajuta katika maisha yao yote milele kwa kutompa Raila urais
 
Duhh huyu mungiki fala kweli kweli
Yaani kwa vimichoro vya graph ati anajidanganya Kenya ni tajiri hahaha
Ati unasema wa TZ wajinga nakushangaa
Vipi khs nyie nchi yenu kumilikiwa na kqbila mbali na kuwanyima HAKI wakenya wenzenu jee sio ujinga na ufala huo?
Huoni mnajitengezea matatizo ambayo matokeo yk mnatafuta hifadhi kukimbilia Tanzania
Hivi unafahamunkuwa Kenya kuna unasikini ambao huwezi kuta umasikini mkali kama huo kwa TZ,
Kubali usikubali TZ ndio kila kitu ktk east Africa nakumbuka museven aliwahi kusema without TZ there is no east Africa,
Unakumbuka jakaya alipunguza route za KQ kuja TZ mbona mulimfuata Namibia kumbembeleza km kweli nyie ni matajiri?
Kwataarifa yenu mungiki kubalini TZ ni nchi tajiri kwanini nasema hvy nayajua ambayo nyingi hamjui lkn MTA amini muda mchache ujao
Nakumbuka rais aliyrpita aliwahi kuwaeleza viongozi wa Kenya wkt ule khs kusign miswaada ya EAC Tanzania ilipokataa kushinikizwa SERIKALI ya mungiki na wapambe wake wakatishia kuwa cc tunasonga mbele
Muheshimiwa kikwete aliwajibu km mnasonga mbele nendeni sababu cc Tanzania tunahitajika zaid na nchi za EAC kuliko cc tunavyowahitaji,
utajiri haupimwi kwa kuangalia michoro na mqkaratasi tuu
Kuna mambo mengi ya MSINGI
Political stability
Geographically position of the country
Natural resources
Population
Fertile land
Education
Etc etc
Kiongozi mahiri haihitaji msaada toka kwa dikteta ili kuongoza nchi. Usiwatishe wakenya. Kenyatta ana mbinu naaarifa mengi sana ya kuleta neema Kenya.
 
Acha kujaza nyuzi JF[emoji36]
 
Acha kujaza nyuzi JF[emoji36]
Kenya kuna maskini wenye wengi wenye digrii na akili timanu wanakaa kwenye slums za kibera na mathare za nyumba zilizojengwa Na matakataka kama manailoni nk.Tanzania nyumba kama hizo wanaishi vichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…